ALIPIZA KISASI KWA KUSAMBAZA PICHA CHAFU

Kuchapisha picha za mtu binafsi za utupu bila yeye kujua, limekuwa jambo la kawaida nchini Uganda katika siku za hivi karibuni. 
Nchini Uganda picha za mwanamuziki Desire Luzinda zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kuchapishwa kwa baadhi ya magazeti nchini.
Inasemekana aliyekuwa mpenzi wake wa zamani ndiye alisambaza picha hizo kama hatua ya kushikisha adabu mwanamuziki huyo.
Mwandishi wa BBC Issaac Mumena anasimulia akiwa mjini Kampala.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment