ommy dimpozi amebainisha hayo katika kipindi cha amplifaya ya clouds fm na kusema kuwa,
‘Ni picha tu mimi naona kama ni picha zingine tu za kawaida, sasa nimeshindwa kuelewa kwanini labda zimetengeneza sana stori kwasababu mimi naona sio mara yangu kwanza kupiga picha na Wema hata uki google utaona tunapicha nyingi sana kwa hiyo sijaelewa kwanini zimeleta stori
by SYLIVESTER KASSA
Blogger Comment
Facebook Comment