Je unawajua wasanii watatu waliojitoa Cash Money ndani ya miezi sita? Soma hapa

Baada ya Omarion na rapa Busta Rhymes kujitoa Cash Money records, Jumamosi ya May 9 2015 rapa/mtangazaji/ mwigizaji Bow Wow ametumia kurasa yake ya facebook kufahamisha mashabiki kuwa amejitoa rasmi Cash Money baada ya miaka mitano na lebel hio na kutoa album moja tu ambayo ni ‘Underrated’. Bow wow amerudi kufanya kazi na waliomtoa kwenye muziki ambao ni Jermain Dupri na Snoop Dogg.Angalia video ya Bow Wow akielezea sababu za kujitoa hapo chini
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment