Kuelekea kutoka kwa wimbo wao mpya wa Mapenzi na Pesa kipi bora zaidi kwa kizazi hiki, hii ni stori ya Diamond akitetea upande wake wa Mapenzi na Nay wa Mitego akitetea upande wa pesa.
Diamond aliandika ujumbe huu “Jamani wadau Wangu #TeamMapenzi Huu ni mfano mzuri… Haya nyie kina @naytrueboy #TeamPesa Bado Mnabisha tu????? #MapenziAuPesa ”
Na Nay wa Mitego kwa upande wake aliandika hivi ” Jamani #TeamPesa hawa #TeamMapenzi wanaikumbuka hii story ya huyu bidada!? Wanasemaje sasa??? bado Wanaleta ubishi tu Kuwa Mapenzi #kupetipeti sio #Pesa?!
#MapenziAuPesa ”
Diamond aliandika ujumbe huu “Jamani wadau Wangu #TeamMapenzi Huu ni mfano mzuri… Haya nyie kina @naytrueboy #TeamPesa Bado Mnabisha tu????? #MapenziAuPesa ”
Na Nay wa Mitego kwa upande wake aliandika hivi ” Jamani #TeamPesa hawa #TeamMapenzi wanaikumbuka hii story ya huyu bidada!? Wanasemaje sasa??? bado Wanaleta ubishi tu Kuwa Mapenzi #kupetipeti sio #Pesa?!
#MapenziAuPesa ”
Blogger Comment
Facebook Comment