Staa mrembo wa Bongo Movies, Esha Buheti amesema anajipanga kumtafuta staa mwenzake Issa Musa ‘Cloud’ ili amuombe msamaha akiamini bila kufanya hivyo mambo hayawezi kumnyookea.
Esha alisema yeye na Cloud ni kama mtu na kaka yake lakini kwa hali ilivyo inaonekana kama msanii mwenzake huyo ana kinyongo naye hivyo atakwenda kumuomba radhi ili tofauti zao ziondoke.
“Yaani nimekaa na kuona ipo haja ya mimi kumtafuta na kumuangukia Cloud ili kama kuna kitu nilimkwaza anisamehe kwani naona kama mambo hayaniendei vizuri,” alisema Esha huku akidai anajua kinachomfanya Cloud ‘ammaindi’ ni kitendo cha yeye kutangaza kujitoa Bongo Movie
Esha alisema yeye na Cloud ni kama mtu na kaka yake lakini kwa hali ilivyo inaonekana kama msanii mwenzake huyo ana kinyongo naye hivyo atakwenda kumuomba radhi ili tofauti zao ziondoke.
“Yaani nimekaa na kuona ipo haja ya mimi kumtafuta na kumuangukia Cloud ili kama kuna kitu nilimkwaza anisamehe kwani naona kama mambo hayaniendei vizuri,” alisema Esha huku akidai anajua kinachomfanya Cloud ‘ammaindi’ ni kitendo cha yeye kutangaza kujitoa Bongo Movie
Blogger Comment
Facebook Comment