Tyga alichofanya kwaajili ya mpenzi wa Kylie Jenner.

Rapa Tyga anazidi kuonyesha kuwa hana mpango wa kurudiana na mama mtoto wake Blac Chyna baada ya kuondoa tattoo zake na kuandika jina la Kylie Jenner mkononi.
Tyga amefanya hivi ili kuonyesha hana mpango wa kuwa na Blac na kwamba akili yake sasa ipo kwa Kylie. Tyga na Blac Chyna wanamtoto mmoja anaitwa King Cairo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment